Subcribe to our RSS feeds Join Us on Facebook Follow us on Twitter Add to Circles

Alhamisi, 12 Juni 2014

HADITHI.


Maana ya neno hadith katika lugha ya kiarabu ni simulizi au taarifa za kweli au za kutunga, zinazohusiana na wakati uliopo au uliopita. Vile vile neno hili katika lugha lina maana ya mpya yaani kinyume cha kukuu. Neno hili limerithiwa katika lugha ya Kiswahili kama hadithi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni